Friday, November 16, 2012

Hali mbaya ya miundombinu ya shule wilayani Nyasa


Haya ni majengo ya vyumba viwili vya madarasa katika shule ya msingi Ndonga
 iliyopo Kata ya Kihagara wilayani Nyasa katika mkoa wa Ruvuma,  ambavyo viliezuliwa na
 kubomoka tangu 2011,wanafunzi wamekuwa wakisoma huku wakipigwa na jua na masomo husimama kipindi cha mvua

Mlundikano darasani, dawati linalopaswa kukaliwa na wanafunzi watatu ama wanne 
linatumiwa na wanafunzi watano. Hii ni Shule ya Msingi Ndonga iliyopo wilayani Nyasa


Hiki ni choo cha walimu kama kinavyoonyeshwa na mwalimu









0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More