Monday, August 6, 2012

Shule za msingi wilayani Nkasi na uhaba wa vyumba vya kusomea







Wanafunzi wa shule msingi Misunkumilo ya wilayani Nkasi wakisoma kwenye darasa lililoezakwa kwa turubai, shule hiyo ina madarsa mawili ya namna hiyo ambayo yanatumiwa na wanafunzi wa darasa la tatu, la nne na la awali. Shule hii ipo  mita 400 tu kutoka makao makuu ya wilaya ya nkasi.

 

Wanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Isensa wakiwa darasani, darasa hili lina wanafunzi 211, mwalimu hana pa kukaa akifundisha hutoka nje kusubiri watoto wamalize kuandika. Picha na mpiga picha wa HakiElimu 




0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More