Tuesday, June 12, 2012

Habari Katika Picha:Uhaba wa madawati katika shule za sekondari

Sekondari ya Ilulu wilayani Kilwa inaupungufu wa madawati, wanafunzi wengi wanakaa katika benchi, stul za maabar.Shule hii ina upungufu wa madawati na kusababisha baadhi ya wanafunzi kukaa juu ya meza wakikosa sehemu ya kuegemea ili kufanya kazi zao za darasani.

Wanafunzi wakiwa darasani












0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More