Thursday, May 31, 2012

Matangazo mapya ya HakiElimu haya hapa

 
Kutokujua kusoma na kuandika mashuleni

 
Udanganyifu katika mitihani 
 
HakiElimu ina matangazo mapya mawili, la kwanza linaongelea wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika(Illiteracy in schools) na la pili linaongelea udanganyifu katika mitihani unaofanywa na baadhi ya shule(Pass no mater what).Shule zinazofanya udanganyifu zimewakilishwa na shule ya msingi Janja janja kwenye tangazo.Tune ITV,Chanel 10,Mlimani TV kwa Television.Radio zinazorusha matangazo haya mapya ni RFA,Clouds FM,Radio 5 Arusha,Abood Media Morogoro,Mlimani FM Udsm,Bomba FM Mbeya,Radio Kwizera Ngara, Ebony FM Iringa,Sibuka FM Maswa na Sport FM Dodoma

1 comments:

Nawakubali sana mmeleta mapinduzi nchini

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More