Kutokujua kusoma na kuandika mashuleni
Udanganyifu katika mitihani
HakiElimu ina matangazo mapya
mawili, la kwanza linaongelea wanafunzi wasiojua kusoma na
kuandika(Illiteracy in schools) na la pili linaongelea udanganyifu
katika mitihani unaofanywa na baadhi ya shule(Pass no mater what).Shule
zinazofanya udanganyifu zimewakilishwa na shule ya msingi Janja janja
kwenye tangazo.Tune ITV,Chanel 10,Mlimani TV kwa
Television.Radio zinazorusha matangazo haya mapya ni RFA,Clouds FM,Radio
5 Arusha,Abood Media Morogoro,Mlimani FM Udsm,Bomba FM Mbeya,Radio
Kwizera Ngara, Ebony FM Iringa,Sibuka FM Maswa na Sport FM Dodoma
1 comments:
Nawakubali sana mmeleta mapinduzi nchini
Post a Comment