BODI ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mwandishi wa Habari Mkongwe barani Afrika, Tido Mhando kuwa Mkurugenzi mpya wa kampuni hiyo kuanzia jana.(Source: Tovuti ya Facebook ya Mwananchi).
HakiElimu inatoa pongezi kwa uteuzi huo.
0 comments:
Post a Comment