Thursday, March 22, 2012

Hongera Tido Mhando kwa kuwa mkurugenzi mpya wa Mwananchi Communications LTD

BODI ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mwandishi wa Habari Mkongwe barani Afrika, Tido Mhando kuwa Mkurugenzi mpya wa kampuni hiyo kuanzia jana.(Source: Tovuti ya Facebook ya Mwananchi).


HakiElimu inatoa pongezi kwa uteuzi huo.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More