Samani zilizomo ndani ya maktaba hiyo kabla ya kuwekwa vitabu.Maktaba hiyo imejengwa na kuwekwa samani pamoja na vitabu na shirika la HakiElimu ikiwa ni njia mojawapo ya kumuenzi baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere.
Maktaba inavyoonekana kwa nje
Nukuu ya maneno ya Mwalimu Nyerere kuhusu elimu ikiwa ndani ya maktaba
0 comments:
Post a Comment