Wanafunzi wenye ulemavu wa macho wa shule ya msingi Ruhila ya mkoani Ruvuma wakiwa darasani.Kesho wanafunzi zaidi Milioni Moja miongoni mwao wanafunzi 96 wenye ulemavu wataanza mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi nchini kote.
Darasani
Picha zote na Edwin Mashasi
0 comments:
Post a Comment