Tuesday, September 13, 2011

Utumikishwaji wa wanafunzi, wanatendewa haki?

Wanafunzi wa shule ya Msingi Kiongera kata ya Susuni wilayani Tarime wakiwa wamebeba mahindi kwenye mashati na sketi za shule kutoka shambani ambako waliamliwa kuvuna mahindi.


Wakiendelea kusomba mahindi

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More