Leo wanafunzi wa darasa la saba nchini kote wameanza mitihani ya kumaliza elimu ya msingi ambapo wanafunzi takribani milioni moja wanafanya mtihani huo maeneo mbalimbali nchini.HakiElimu inawatakia mtihani mwema.
Picha kwa hisani ya wavuti
Leo wanafunzi wa darasa la saba nchini kote wameanza mitihani ya kumaliza elimu ya msingi ambapo wanafunzi takribani milioni moja wanafanya mtihani huo maeneo mbalimbali nchini.
0 comments:
Post a Comment