Monday, August 8, 2011

Safari ya kuelekea shule ni ya kuvuka mabonde na mito

Hii ndiyo njia yangu ya kila siku.Hii ni wilaya ya kilosa mkoani Morogoro


safari ikiendelea

Mwanafunzi akivuka maji huku viatu vikiwa vimetangulizwa ng'ambo ya pili

Hili ndilo korongo ambalo wanafunzi hupita katika safari yao ya kila siku wakielekea shule

Korongo hili ni hatarishi kwa usalama wa mwanafunzi

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More