Friday, June 3, 2011

Tafakari na Chukua hatua


Uhaba wa madarasa; wanafunzi wa madarasa mawili tofauti wakiwa wamekaa kwenye chumba kimoja cha darasa ikiwa ndio njia mbadala ya kukabiliana na uhaba wa vyumba vya madarasa.Upande wa mbele ni darasa la 4 waliotupa mgongo ni darasa la 2. Hii ni Kwa hisani ya mpiga picha wa gazeti la mwananchi.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More