Friday, May 20, 2011

Je Mabadiliko gani yanahitajika kwenye shule zetu?

Wanafunzi wa shule ya msingi Mvumi wakimfuatilia kwa umakini mwalimu wao akiwa anafundisha.Shule nyingi zimekua zikikabiliwa na uhaba wa madawati na hivyo kusababisha wanafunzi kukaa chini.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More