Karibuni shuleni kwetu Hayombo Sekondari hapa Mbeya; Mkurugenzi wa HakiElimu bi Elizabeth Missokia na Afisa katika idara ya Utetezi wakikaribishwa na Mwalimu wa shule ya sekondari Hayombo.
Wanafunzi wakiwasikiliza HakiElimu walipowatembelea shuleni kwao
wanafunzi wakiwasikiliza kwa umakini wageni wao kutoka HakiElimu
Mkurugenzi wa HakiElimu Elizabeth Missokia akiwagawia madodoso wanafunzi kwaajili ya kupata maoni yao juu ya mambo muhimu kwenye elimu nchini.
Monday, May 30, 2011
HakiElimu yatembelea baadhi ya shule mkoani Mbeya
Posted in: Elimu
0 comments:
Post a Comment