Monday, March 28, 2011

Mkutano na waandishi wa Habari unafanyika sasa hivi HakiElimu

Leo saa nne asubuhi kuna mkutano na waandishi wa Habari HakiElimu, lengo ni kuzindua shindano la insha lenye kichwa cha habari 'Mwanafunzi bora anapaswa kuwa na sifa gani muhimu?'

Kaimu Mkurugenzi wa HakiElimu Bwana Robert Mihayo atakua muongeaji mkuu katika tukio hilo.

tutawajuza yatakayojiri kwenye tukio hilo.

0 comments:

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More