wanafunzi wa shule ya msingi Mwisenge wakiimba shairi maalum kwa mgeni rasmi ambaye ni Capt Geofrey Ngatuni mkuu wa wilaya ya Musoma na wageni kutoka HakiElimu siku ya kufungua rasmi maktaba iliyojengwa na HakiElimu katika kumuenzi baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere
Mkurugenzi wa HakiElimu Elizabeth Missokia akitoa machache juu ya umuhimu wa maktaba katika utoaji wa elimu bora.Pembeni kushoto ni Capt Geofrey Ngatuni mkuu wa wilaya ya Musoma
Tuesday, November 1, 2011
Picha na Matukio siku ya kufungua maktaba ya kisasa
Posted in:
1 comments:
jamani kwa kweli hiki ni kitu cha msingi sana hasa kwa wanaharakati , ninaamini hii itakuwa nichangamoto kwa shule zote ambazo hazina maktaba kujitahidi kuipztz ili wanafunzi wapate wanachotakiwa kukipata
Post a Comment