Miaka 10 ya HakiElimu

Mgeni rasmi katika sherehe za miaka kumi ya hakiElimu ambaye ni Mh. Samuel Sita

Young Boys Carrying Sand in a Pull Cart After Attending School

Young boys carrying sand in a pull cart after attending school to earn probably stationery money at Midizini area in Manzese

>Mathematicians in the Making....

Samia Tajiri(right)of Kiwalani Primary School in Dar es Salaam does her mathematics homework using bottle caps at a street side

Showing posts with label chakula. Show all posts
Showing posts with label chakula. Show all posts

Tuesday, August 9, 2011

Mpango wa kutoa chakula mashuleni ni dawa ya utoro

Wanafunzi wa shule ya msingi Puma mkoani Singida wakila chakula cha mchana kinachotolewa na mpango wa chakula duniani kwa nia ya kuhamasisha wanafunzi kuhudhuria darasani na kuinua uwezo wao kielimu.Picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More