
Katika mwaka wa fedha 2011/2012, serikali itaendesha mafunzo kazini kwaajili ya walimu 2052 wanaofundisha masomo ya sayansi,hisabati na lugha kwa shule za msingi na sekondari nchi nzima ili kuinua kiwango cha ufundishaji kwa masomo hayo.
Pia serikali imeongeza fedha za kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kutoka Sh5,000/- mpaka 7,500/- kwa siku.
Uchambuzi zaidi utawajia kesho.
0 comments:
Post a Comment