
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Bungu wakiwa katika ofisi za walimu
kuzungumzia mafanikio na changamoto mbalimbali kitaaluma katika shule hiyo.
Ofisi ya Walimu Shule ya Sekondari Bungu.
Mkuu wa Shule ya Sekondari Bungu, Dismas Kimweli (kushoto) akifanya
mahojiano na Mhariri wa Thehabari.com, Joachim Mushi alipotembelea
baadhi ya Shule za msingi na sekondari Halmashauri ya Korogwe juzi.
Habari na Thehabari.com na HakiElimu
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Bungu iliyopo Korogwe Vijijini wamelalamikia kitendo cha baadhi ya walimu wao kucheza mchezo wa table tennis ofisini (staff room) tendo ambalo limekuwa...