Miaka 10 ya HakiElimu

Mgeni rasmi katika sherehe za miaka kumi ya hakiElimu ambaye ni Mh. Samuel Sita

123

Wednesday, December 5, 2012

Walimu Sekondari Wacheza ‘Table Tennis’ Ofisini Korogwe

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Bungu wakiwa katika ofisi za walimu  kuzungumzia mafanikio na changamoto mbalimbali kitaaluma katika shule hiyo. Ofisi ya Walimu Shule ya Sekondari Bungu. Mkuu wa Shule ya Sekondari Bungu, Dismas Kimweli (kushoto) akifanya  mahojiano na Mhariri wa Thehabari.com, Joachim Mushi alipotembelea  baadhi ya Shule za msingi na sekondari Halmashauri ya Korogwe juzi. Habari na Thehabari.com na HakiElimu WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Bungu iliyopo Korogwe Vijijini wamelalamikia kitendo cha baadhi ya walimu wao kucheza mchezo wa table tennis ofisini (staff room) tendo ambalo limekuwa...

Monday, November 26, 2012

Ukata unachangia uelewa finyu wa maudhui ya mtaala kwa walimu

Mkurugenzi wa Utafiti, Habari na Machapisho wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE)  Makoye Wangeleja akisisitiza jambo siku ya uzinduzi wa ripoti ya Utafiti  Juu ya Uhusiano Uliopo Kati ya Mitihani na Mitaala Imeelezwa kuwa ufinyu wa bajeti umekuwa ukikwamisha juhudi za kutoa elimu ya mitaala kwa walimu ili kuwajengea uwezo wa kuweza kuelewa maudhui yaliyomo kwenye mitaala ili kuwawezesha kuelewa na kuweza kutafsiri kwa vitendo maudhui ya mitaala katika ufundishaji. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Utafiti, Habari na Machapisho wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) Makoye Wangeleja wakati akichangia ripoti ya utafiti iliyowasilishwa na...

Friday, November 23, 2012

Utafiti: Uelewa finyu wa mitaala chanzo cha matokeo mabaya ya mitihani

 Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dr Kitila Mkumbo  akitoa matokeo ya utafiti katika ukumbi wa mikutano wa HakiElimu.  Imebainika kuwa matokeo mabaya kwenye mitihani ya taifa hayahusiani na kutofautiana kati ya mitihani na maudhui ya mtaala ingawa, uelewa finyu wa walimu juu ya maudhui ya mtaala wa elimu ndicho chanzo cha matokeo mabovu ya mitihani ya taifa. Pia imebainika kuwa mtaala wa elimu unatekelezwa kwa kiwango duni kwa kuwa idadi kubwa ya walimu hawaelewi mahitaji ya mtaala na mazingira ya kufundishia na kujifunzia ni duni katika utekelezaji bora wa mtaala. Hayo yamo katika ripoti mpya...

Friday, November 16, 2012

Hali mbaya ya miundombinu ya shule wilayani Nyasa

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 /* Style Definitions...

Wednesday, October 10, 2012

Ben Pol aonesha kuwa msanii ni kioo cha jamii

Ben Pol msanii wa bongo flavor na mshindi wa tuzo za muziki za Kilimanjaro  kwa mwaka 2011 na 2012 akiwa na bango la 'Boresha Chekchea'. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Pages 321234 »
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More